Hirondelle Leo
- Maelezo
- Uhifadhi wa nyaraka
- Mafunzo
Maelezo
Utayarishaji
Ikiwa ni taarifa zinazoandikwa au zinazorushwa na kituo cha redio, AIDF inashughulikia moja kwa moja matukio yanayohusiana na kesi za mauaji yakimbali ya Rwanda katika ngazi tatu:
1. Taarifa za kesi mbele ya mahakama ya ICTR zinatolewa kwa njia ya habari zinazotolewa na shirika
2. Taarifa makini zinazoelezea kazi za mahakama ya ICTR
3. Mahojiano, maelezo ya kumtambua mtu, na redio ni vifaa muhimu katika kuifahamu mahakama ya ICTRAIDF inatayarisha ma mia ya taarifa na mashabaha kwa mwezi katika lugha nyingi.Shirika lina kituo chake cha redio kinachoiwezesha utayarishaji wa majarida na mashabaha kwa ajili ya redio za kitaifa na kimataifa.
Usambazaji
Kazi ya uandishi ya shirika inatolewa kila siku na usambazaji wa electronika ya computa na kutabgazwa kwa njia ya mtandao( www.hirondelle.org) ambapo zaidi ya 450 ni wasomaji wa kudumu wakiwemo vyombo vya habari, mashirika pamoja na watu binafsi. Tovuti hiyo ni kama ofisi kurugenzi ambayo inahifadhi matangazo yote ya shirika katika orodha yenye kufuata utaratibu wa miaka na matukio wa kesi.
Sambamba na hayo, idadi kubwa ya mashabaha wanaoripoti redioni wanalenga vituo vya redio vya kimataifa kama VOA na vinginevyo hasa vinavyorusha matangazo kwa Kiswahili na kinyarwanda. Pia wadau walijiendeleza na maredio kitaifa , kijamii na kibinafsi( Tanzania, Burundi…) Kutokana na vituo hivyo, taarifa zinazotayarishwa na shirika hazisikiki nchini Rwanda pekee bali katika eneo zima.
Uhifadhi wa nyaraka
Mafunzo


